1 Nyakati Chapter 9 SWHULB Bible Verse Images

1 Nyakati 9 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share 1 Nyakati 9 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


1 Nyakati 9:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.

1 Nyakati 9:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.

1 Nyakati 9:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.

1 Nyakati 9:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.

1 Nyakati 9:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.

1 Nyakati 9:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.

1 Nyakati 9:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.

1 Nyakati 9:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.

1 Nyakati 9:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.

1 Nyakati 9:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.

1 Nyakati 9:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.

1 Nyakati 9:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.

1 Nyakati 9:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.

1 Nyakati 9:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.

1 Nyakati 9:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.

1 Nyakati 9:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.

1 Nyakati 9:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.

1 Nyakati 9:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.

1 Nyakati 9:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.

1 Nyakati 9:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.

1 Nyakati 9:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”

1 Nyakati 9:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.

1 Nyakati 9:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.

1 Nyakati 9:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.

1 Nyakati 9:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.

1 Nyakati 9:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.

1 Nyakati 9:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.

1 Nyakati 9:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.

1 Nyakati 9:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.

1 Nyakati 9:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.

1 Nyakati 9:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.

1 Nyakati 9:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.

1 Nyakati 9:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.

1 Nyakati 9:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.

1 Nyakati 9:35 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.

1 Nyakati 9:36 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,

1 Nyakati 9:38 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.

1 Nyakati 9:39 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.

1 Nyakati 9:40 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.

1 Nyakati 9:41 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.

1 Nyakati 9:42 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.

1 Nyakati 9:43 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.

1 Nyakati 9:44 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli
Previous Chapter
« 1 Nyakati 8 (SWHULB)

Available Bible Translations

American Standard Version
1 Chronicles 9 (ASV) »
King James Version
1 Chronicles 9 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
1 Chronicles 9 (GW) »
World English Bible
1 Chronicles 9 (WEB) »
Louis Segond 1910
1 Chroniques 9 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
1 इतिहास 9 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
1 ਇਤਿਹਾਸ 9 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
1 বংশাৱলি 9 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
1 நாளாகமம் 9 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
1 इतिहास 9 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
1 దినవృత్తాంతాలు 9 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
1 કાળવૃતાંત 9 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
1 ಪೂರ್ವಕಾಲವೃತ್ತಾಂತ 9 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
١ أخبار 9 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
דברי הימים א 9 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
1 Crônicas 9 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
1 Sử Ký 9 (VIE) »
Reina Valera Antigua
1 Crónicas 9 (RVA) »
La Sacra Bibbia
1 Cronache 9 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
历 代 志 上 9 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
歷 代 志 上 9 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
1 Kronikave 9 (ALB) »
Библия на русском
1 Паралипоменон 9 (RUSV) »
Українська Біблія
1 хроніки 9 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
1 Krónika 9 (KAR) »
Българска Библия
1 Летописи 9 (BULG) »
聖書 日本語
歴代志上 9 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Taariikhdii Kowaad 9 (SOM) »
De Heilige Schrift
1 Kronieken 9 (NLD) »

1 Nyakati (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List