2 Wafalme Chapter 14 SWHULB Bible Verse Images

2 Wafalme 14 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share 2 Wafalme 14 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


2 Wafalme 14:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.

2 Wafalme 14:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.

2 Wafalme 14:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.

2 Wafalme 14:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.

2 Wafalme 14:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.

2 Wafalme 14:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”

2 Wafalme 14:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.

2 Wafalme 14:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”

2 Wafalme 14:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.

2 Wafalme 14:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”

2 Wafalme 14:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.

2 Wafalme 14:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.

2 Wafalme 14:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.

2 Wafalme 14:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.

2 Wafalme 14:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?

2 Wafalme 14:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.

2 Wafalme 14:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.

2 Wafalme 14:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?

2 Wafalme 14:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.

2 Wafalme 14:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.

2 Wafalme 14:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.

2 Wafalme 14:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.

2 Wafalme 14:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.

2 Wafalme 14:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.

2 Wafalme 14:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.

2 Wafalme 14:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.

2 Wafalme 14:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.

2 Wafalme 14:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?

2 Wafalme 14:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
Previous Chapter
« 2 Wafalme 13 (SWHULB)

Available Bible Translations

American Standard Version
2 Kings 14 (ASV) »
King James Version
2 Kings 14 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
2 Kings 14 (GW) »
World English Bible
2 Kings 14 (WEB) »
Louis Segond 1910
2 Rois 14 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
2 राजाओं 14 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
2 ਰਾਜਿਆਂ 14 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
2 ৰাজাৱলি 14 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
2 இராஜாக்கள் 14 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
2 राजे 14 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
2 రాజులు 14 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
2 રાજાઓ 14 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
2 ಅರಸುಗಳು 14 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلْمُلُوكِ ٱلثَّانِي 14 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
מלכים ב 14 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
2 Reis 14 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
2 Các Vua 14 (VIE) »
Reina Valera Antigua
2 Reyes 14 (RVA) »
La Sacra Bibbia
2 Re 14 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
列 王 记 下 14 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
列 王 紀 下 14 (CUVT) »
Svenska Bibeln 1917
2 Kungaboken 14 (SV1917) »
Библия на русском
4 Царств 14 (RUSV) »
Українська Біблія
2 царів 14 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
2 Királyok 14 (KAR) »
Българска Библия
4 Царе 14 (BULG) »
Kitaabka Quduuska Ah
Boqorradii Labaad 14 (SOM) »
De Heilige Schrift
2 Koningen 14 (NLD) »

2 Wafalme (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List