2 Wafalme Chapter 15 SWHULB Bible Verse Images

2 Wafalme 15 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share 2 Wafalme 15 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


2 Wafalme 15:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.

2 Wafalme 15:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.

2 Wafalme 15:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.

2 Wafalme 15:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.

2 Wafalme 15:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.

2 Wafalme 15:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?

2 Wafalme 15:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.

2 Wafalme 15:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.

2 Wafalme 15:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi

2 Wafalme 15:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.

2 Wafalme 15:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.

2 Wafalme 15:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.

2 Wafalme 15:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.

2 Wafalme 15:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.

2 Wafalme 15:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.

2 Wafalme 15:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.

2 Wafalme 15:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.

2 Wafalme 15:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.

2 Wafalme 15:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.

2 Wafalme 15:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.

2 Wafalme 15:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?

2 Wafalme 15:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.

2 Wafalme 15:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.

2 Wafalme 15:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.

2 Wafalme 15:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.

2 Wafalme 15:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.

2 Wafalme 15:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.

2 Wafalme 15:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.

2 Wafalme 15:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.

2 Wafalme 15:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.

2 Wafalme 15:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.

2 Wafalme 15:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.

2 Wafalme 15:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.

2 Wafalme 15:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.

2 Wafalme 15:35 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.

2 Wafalme 15:36 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?

2 Wafalme 15:37 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.

2 Wafalme 15:38 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.
Previous Chapter
« 2 Wafalme 14 (SWHULB)

Available Bible Translations

American Standard Version
2 Kings 15 (ASV) »
King James Version
2 Kings 15 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
2 Kings 15 (GW) »
World English Bible
2 Kings 15 (WEB) »
Louis Segond 1910
2 Rois 15 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
2 राजाओं 15 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
2 ਰਾਜਿਆਂ 15 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
2 ৰাজাৱলি 15 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
2 இராஜாக்கள் 15 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
2 राजे 15 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
2 రాజులు 15 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
2 રાજાઓ 15 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
2 ಅರಸುಗಳು 15 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلْمُلُوكِ ٱلثَّانِي 15 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
מלכים ב 15 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
2 Reis 15 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
2 Các Vua 15 (VIE) »
Reina Valera Antigua
2 Reyes 15 (RVA) »
La Sacra Bibbia
2 Re 15 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
列 王 记 下 15 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
列 王 紀 下 15 (CUVT) »
Svenska Bibeln 1917
2 Kungaboken 15 (SV1917) »
Библия на русском
4 Царств 15 (RUSV) »
Українська Біблія
2 царів 15 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
2 Királyok 15 (KAR) »
Българска Библия
4 Царе 15 (BULG) »
Kitaabka Quduuska Ah
Boqorradii Labaad 15 (SOM) »
De Heilige Schrift
2 Koningen 15 (NLD) »

2 Wafalme (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List