Mambo ya Walawi Chapter 20 SWHULB Bible Verse Images

Mambo ya Walawi 20 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Mambo ya Walawi 20 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Mambo ya Walawi 20:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Waambie watu wa Waisraeli, 'mtu yeyote miongoni mwa watu Israeli, au Mgeni yeyote anayeishi miongoni mwa Waisraeli atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki, hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa mawe.

Mambo ya Walawi 20:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumkatilia mbali kutoka miongoni mwa watu wake kwa sababu amemtoa mtoto wake kwa Moleki, ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu.

Mambo ya Walawi 20:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na kama watu wa nchi watayafumba macho yao kwa mtu huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa Moleki, kama hawatamwua mtu huyo, ndipo Mimi mwenyewe nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na ukoo wake,

Mambo ya Walawi 20:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nami nitamkatilia mbali pamoja na yeyote anayejifanya kahaba ili kufanya umalaya na Moleki.

Mambo ya Walawi 20:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtu yule anayewageukia wanaozungumza na wafu, au na wale wanaozungumza na roho ili kufanya ukahaba nao, Nitakaza uso wangu dhidi ya mtu huyo; Nami nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.

Mambo ya Walawi 20:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo jitakaseni wenyewe na muwe watakatifu, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

Mambo ya Walawi 20:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtazitunza amari zangu na kuzifuta. Mimi ndimi Yahweh anayewatenga ninyi muwe watakatifu.

Mambo ya Walawi 20:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yeyote amlaaniye baba yake au mama yake hakika mtu huyo atauawa. Amemlaani baba yake au mama yake, kwa hiyo ana hatia na anastahili kufa.

Mambo ya Walawi 20:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwanaume yeyote afanyaye uzinzi na mke wa mwanaume mwingine, yaani, yeyote anayezini na mke wa jirani yake—yule mwanaume mzinzi na mwanamke mzinzi ni lazima wote wawili wauawe.

Mambo ya Walawi 20:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwanaume yeyote anayelala na mke wa baba yake ili kukutana naye kimwili amemfedhehesha baba yake mwenye. Wote wawili; mwana huyo na mke huyo wa baba yake kwa hakika watauawa. wanahatia na wanastahili kufa.

Mambo ya Walawi 20:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama mwanaume atalala na mke wa mwanawe, wote wawili; mwanaume huyo na mke huyo wa mwanawe hakika watauawa. Wametenda upotovu. Wana hatia na wanastahili kufa.

Mambo ya Walawi 20:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama mwanaume analala na mwanaume mwingine kama alalavyo na mwanamke, wote wawili watakuwa wamefanya jambo lililo ovu. Hakika watauawa. Wana hatia na wanastahili kufa.

Mambo ya Walawi 20:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa mwanaume atamwoa mwanamke na pia akamwoa mama wa mwanamke huyo, huu ni uovu. Ni lazima wachomwe kwa moto, wote wawili, mwanaume huyo na manamke huyo, ili kwamba hapatakuwepo na uovu miongoni mwenu.

Mambo ya Walawi 20:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa mwanaume analala na mnyama, hakika atauawa, ni lazima mumuue na mnyama huyo pia.

Mambo ya Walawi 20:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa mwanamke anamkaribia mnyama ili kulala naye, ni lazima mmuuwe mwanamke huyo pamoja na mnyama. Kwa hakika ni lazima wauawe. wana hatia na wanastahili kufa.

Mambo ya Walawi 20:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa mwanaume analala na dada yake, ama ni binti ya baba yake au binti ya mama yake—ikiwa wamelala pamoja, hilo ni jambo la aibu. Ni lazima wakatiliwe mbali watoke machoni pa watu wao, kwa sababu amelala na dada yake. Ni lazima aibebe hatia yake.

Mambo ya Walawi 20:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama mwanaume analala na mwanamke katika kipindi cha hedhi yake, na amekutana naye kimwili, atakuwa amefunua mtiririko wa damu yake, chanzo cha damu yake. Ni lizima wote wawili wakatiliwe mbali kutoka mingoni mwa watu wao.

Mambo ya Walawi 20:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Usilale na dada ya mama yako, au dada ya baba yako, kwa sababu ungeweza kumwaibisha jamaa yako wa karibu. Ni lazima utabeba hatia yako mwenyewe.

Mambo ya Walawi 20:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa mwanaume analala na shangazi yake, atakuwa amemfedhehesha mjomba wake. Wanapokufa, nitawaadhibu wote wawili, na wanapokufa nitauondolea mbali urithi wa watoto wao ambao wangeliupokea kutoka kwa wazazi wao.

Mambo ya Walawi 20:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikiwa mwanaume anamwoa mke wa kaka yake wakati ambapo kaka yake angali hai, hilo ni jambo la aibu. Amemfedhehesha kaka yake, na nitaondolea mbali mali yoyote amabayo watoto wao wangerithi kutoka kwa wazazi wao.

Mambo ya Walawi 20:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri na sheria zangu zote; ni lazima mzitii ili kwamba ile nchi ambayo ninawaleta kuishi isiwatapike nyinyi.

Mambo ya Walawi 20:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Msienende katika desturi za mataifa ambayo nitayafukuza mbele yenu, ni kwa sababu wamefanya mambo haya yote, nami mimewachukia wao.

Mambo ya Walawi 20:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nami nikawaambia ninyi, “Mtaimiliki nchi yao, nitaitoa kwenu ili muimiliki, nchi itiririkayo amaziwa na asali. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu, aliyewatenga nyinyi kutoka kwa watu wengine.

Mambo ya Walawi 20:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ni lazima pia mtofautishe kati ya wanya najisi na wale walio safi, na kati ya ndege walio najisi na walio safi. Msijichafue wenyewe kwa wanyama au ndege au kiumbe kitambaacho juu ya nchi kilicho najisi, ambacho nimekitenga kuwa najisi.

Mambo ya Walawi 20:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtakuwa watakatifu, kwa kuwa Mimi, Yahweh, ni mtakakatifu, nami nimewatenga nyinyi kutoka kwa watu wengine, kwa kuwa nyinyi ni wangu.

Mambo ya Walawi 20:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwanaume au mwanamke anayeongea na wafu au anayeongea na roho hakika atauawa. Watu watawaponda kwa mawe. Wanayo hatia na wanastahili kufa.

Available Bible Translations

American Standard Version
Leviticus 20 (ASV) »
King James Version
Leviticus 20 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Leviticus 20 (GW) »
World English Bible
Leviticus 20 (WEB) »
Louis Segond 1910
Lévitique 20 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
लैव्यव्यवस्था 20 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਅਹਬਾਰ 20 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
লেবীয়া 20 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
லேவியராகமம் 20 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
लेवीय 20 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
లేవీకాండం 20 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
લેવીય 20 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಯಾಜಕಕಾಂಡ 20 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَللَّاوِيِّينَ 20 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
ויקרא 20 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Levítico 20 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Lê-vi 20 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Levítico 20 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Levitico 20 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
利 未 记 20 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
利 未 記 20 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Levitiku 20 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
3 Mosebok 20 (SV1917) »
Библия на русском
Левит 20 (RUSV) »
Українська Біблія
Левит 20 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
3 Mózes 20 (KAR) »
Българска Библия
Левит 20 (BULG) »
聖書 日本語
レビ記 20 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Laawiyiintii 20 (SOM) »
De Heilige Schrift
Leviticus 20 (NLD) »

Mambo ya Walawi (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List