Mambo ya Walawi Chapter 6 SWHULB Bible Verse Images

Mambo ya Walawi 6 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Mambo ya Walawi 6 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Mambo ya Walawi 6:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.

Mambo ya Walawi 6:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.

Mambo ya Walawi 6:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo itakuwa hivi, kama ametenda dhambi na hatia, kwamba lazima akirudishe kwa vyovyote alichoiba au kudanganya au amedhurumu au kitu kilichopotea naye kukiokota.

Mambo ya Walawi 6:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Au kama amedanganya kwa jambo lolote, lazima atakirudisha kamilina kuongezea sehemu ya tano kwa kumlipa anayedai, kwa siku ile anayopatikana na hatia.

Mambo ya Walawi 6:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ataleta sadka ya hatia kwa Bwana: kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi lake kulingana na thamani yake, kama sadaka ya hatia kwa kuhani.

Mambo ya Walawi 6:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”

Mambo ya Walawi 6:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.

Mambo ya Walawi 6:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuhani atavaa nguo zake za kitani na atavaa nguo za kitani ndani yake. Atatoa majivu yaliyobaki baada ya moto kutekeza sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu, na ataweka majivu pembeni mwa madhabahu.

Mambo ya Walawi 6:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Atavua mavazi haya na kuvaa mavazi mengine ili kuchukua majivu nje ya kambi na kupeleka mahali palipo safi.

Mambo ya Walawi 6:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Moto katika madhabahu utaendelea kuwaka. Usizimike, na kuhani ataongeza kuni kila asubuhi. Atapanga juu yake sadaka ya kuteketezwa kama inavyotakiwa, na atateketeza juu yake mafuta ya sadaka ya amani.

Mambo ya Walawi 6:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Moto lazima utaendelea kuwaka katika madhabahu, kamwe usizimike.

Mambo ya Walawi 6:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hii ni sheria ya sadaka ya nafaka. Wana wa Haruni watatoa mbele ya Bwana katika madhabahu.

Mambo ya Walawi 6:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuhani atachukua konzi ya unga laini wa sadaka ya nafaka na mafuta na ubani ambao uko juu ya sadaka ya nafaka, atateketeza juu ya madhabahu kuleta harufu nzuri ya shukrani ya kumpendeza Bwana.

Mambo ya Walawi 6:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Haruni na wanae watakula sadaka inayobaki, italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu. Watakula katika ua ya hema ya kukutania.

Mambo ya Walawi 6:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Haitaokwa pamoja na chachu. Nimewapa kama sehemu ya sadaka yangu itolewayo kwa moto, ni takatifu sana, kama sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.

Mambo ya Walawi 6:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa nyakati zote zijazo kupitia watu wa kizazi chako, mwanaume yeyote mzaliwa kutoka kwa Haruni aweza kula ni sehemu yake, ichukuliwayo katika sadaka ya Bwana kwa moto. Yeyote anayeigusa atakuwa mtakatifu.”

Mambo ya Walawi 6:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Hii ni sadaka ya Haruni na wanawe ambayo watatoa kwa Bwana katika siku ambayo kila mwana atawekwa wakfu: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama kawaida sadaka ya nafaka nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.

Mambo ya Walawi 6:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Itatengenezwa na mafuta katika kikaango, utaileta ikiwa imeandaliwa imeokwa katika vipande utatoa sadaka ya nafaka ili kuleta harufu nzuri kwa Bwana.

Mambo ya Walawi 6:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwana wa Kuhani Mkuu atakayekuwa Kuhani Mkuu mpya kutoka miongoni mwa wanawe ataitoa. Kama amri ya milele, yote itateketezwa kwa Bwana.

Mambo ya Walawi 6:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itatekezwa yote. Haitaliwa kamwe.”

Mambo ya Walawi 6:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Sema na Haruni na watoto wake kwamba, 'Hii ni sheria ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi lazima kuchinjwa mahali pa sadaka ya kuteketezwa itachinjwa mbeleya Bwana. Ni takatifu sana.

Mambo ya Walawi 6:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuhani atakayeitoa kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila. Italiwa mahali patakatifu katika ua wa hema ya kukutania.

Mambo ya Walawi 6:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yeyote atakayeigusa nyama yake atakuwa ni mtakatifu na kama damu itadondokea mavazi yatafuliwa mahali palipodondokewa, mahali patakatifu.

Mambo ya Walawi 6:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini chungu kikipikiwa kitavunjwa, kama imepikiwa katika chombo cha shaba, lazima kitasuguliwa na kusafishwa kwa maji.

Mambo ya Walawi 6:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mwanaume yeyote miongoni mwa makuhani anaweza kula nyama hiyo kwa sababu ni takatifu sana.

Mambo ya Walawi 6:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na hakuna sadaka ya dhambi italiwa ambayo damu yake imeletwa katika hema ya kukutania kufanya upatanisho katika mahali patakatifu. Ni lazima iteketezwe.

Available Bible Translations

American Standard Version
Leviticus 6 (ASV) »
King James Version
Leviticus 6 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Leviticus 6 (GW) »
World English Bible
Leviticus 6 (WEB) »
Louis Segond 1910
Lévitique 6 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
लैव्यव्यवस्था 6 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਅਹਬਾਰ 6 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
লেবীয়া 6 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
லேவியராகமம் 6 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
लेवीय 6 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
లేవీకాండం 6 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
લેવીય 6 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಯಾಜಕಕಾಂಡ 6 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَللَّاوِيِّينَ 6 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
ויקרא 6 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Levítico 6 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Lê-vi 6 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Levítico 6 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Levitico 6 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
利 未 记 6 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
利 未 記 6 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Levitiku 6 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
3 Mosebok 6 (SV1917) »
Библия на русском
Левит 6 (RUSV) »
Українська Біблія
Левит 6 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
3 Mózes 6 (KAR) »
Българска Библия
Левит 6 (BULG) »
聖書 日本語
レビ記 6 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Laawiyiintii 6 (SOM) »
De Heilige Schrift
Leviticus 6 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
3 Mosebog 6 (DA1871) »

Mambo ya Walawi (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List