Waamuzi Chapter 13 SWHULB Bible Verse Images

Waamuzi 13 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Waamuzi 13 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Waamuzi 13:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu wa Israeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, naye akawatia mikononi mwa Wafilisti kwa miaka arobaini.

Waamuzi 13:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kulikuwa na mtu kutoka Sora, wa jamaa ya Wadani, jina lake Manoa. Mke wake hakuweza kupata mimba na hivyo hakuzaa.

Waamuzi 13:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Malaika wa Bwana akamtokea yule mwanamke akamwambia, Tazame sasa, umeshindwa kupata mimba, wala hujazaa, lakini utakuwa na mimba na utazaa mtoto.

Waamuzi 13:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa kuwa makini usinywe divai au kileo, wala usile kitu chochote kilicho najisi.

Waamuzi 13:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Angalia, utakuwa na mjamzito na kuzaliwa mtoto mwanaume. Hakuna wembe itakayotumiwa juu ya kichwa chake, kwa kuwa mtoto atakuwa Mnaziri kwa Mungu kutoka tumboni, naye ataanza kuwaokoa Israeli kutoka mkono wa Wafilisti.

Waamuzi 13:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha mwanamke akaenda kumwambia mumewe, “Mtu wa Mungu alikuja kwangu, na kuonekana kwake kulikuwa kama malaika wa Mungu, wa kutisha sana. Sikumwuliza ametokea wapi, na hakuniambia jina lake.

Waamuzi 13:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaniambia, 'Tazama! Utakuwa mjamzito, na utazaa mtoto. Basi usinywe divai au kileo, wala usile chakula chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi, kwa kuwa mtoto huyo atakuwa Mnaziri kwa Mungu tangu akipokuwa tumboni mwako mpaka siku ya kufa kwake.”

Waamuzi 13:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo Manoa akamwomba Bwana, akasema, Ee Bwana, tafadhali mruhusu mtu wa Mungu uliyemtuma arudi kwetu ili atufundishe kile tutakachotendea kwa mtoto atakayezaliwa hivi karibuni.

Waamuzi 13:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu akajibu sala ya Manoa, na malaika wa Mungu akamwendea mwanamke tena akiwa ameketi shambani. Lakini Manoa mumewe hakuwa pamoja naye.

Waamuzi 13:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi mwanamke akakimbia haraka akamwambia mumewe, “Tazama! Yule mtu ameonekana kwangu-aliyekuja kwangu siku ile!”

Waamuzi 13:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manoa akasimama na kumfuata mkewe. Alipofika kwa mtu huyo, akasema, “Je, wewe ndiwe mtu aliyezungumza na mke wangu?'” Mtu huyo akasema, “Ni mimi.”

Waamuzi 13:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manoa akasema, Sasa maneno yako yatimike. Je! kuna maagizo gani kwa ajili ya mtoto, na kazi yake itakuwa nini? '

Waamuzi 13:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Malaika wa Bwana akamwambia Manoa, 'Lazima mkeo afanye kila kitu nilichomwambia.

Waamuzi 13:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Asile kitu chochote kinachotokana na mizabibu, wala usimruhusu kunywa divai au kileo; usimruhusu ale chakula chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi. Anapaswa kutii kila kitu nilichoamuru afanye.

Waamuzi 13:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manoa akamwambia malaika wa Bwana, Tafadhali keti kwa muda, utupe wakati wa kuandaa mbuzi kwa ajili yako.

Waamuzi 13:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Malaika wa Bwana akamwambia Manowa, Hata kama nitakaa, sitakula chakula chako. Lakini ukitayarisha sadaka ya kuteketezwa, toa kwa Bwana. ' (Manowa hakujua kwamba alikuwa malaika wa Bwana.)

Waamuzi 13:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manoa akamwambia malaika wa Bwana, Jina lako ni nani, ili tukuheshimu wakati maneno yako yatakapotimia?

Waamuzi 13:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Malaika wa Bwana akamwambia, Mbona unauliza jina langu? Ni ajabu! '

Waamuzi 13:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manoa akamchukua huyo mbuzi pamoja na sadaka ya nafaka, akatoa sadaka juu ya mwamba kwa Bwana. Alifanya jambo la ajabu wakati Manoah na mke wake walikuwa wakiangalia.

Waamuzi 13:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati huo moto ukatoka juu ya madhabahu kwenda mbinguni, malaika wa Bwana akapanda katika moto wa madhabahu. Manoah na mkewe waliona jambo hilo wakainamisha vichwa vyao chini.

Waamuzi 13:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
malaika wa Bwana hakuonekana tena kwa Manoa au mkewe. Manoa akajua kwamba yule ndiye malaika wa Bwana.

Waamuzi 13:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Manoa akamwambia mkewe, 'Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu!'

Waamuzi 13:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini mkewe akamwambia, Ikiwa Bwana alitaka kutuua, asingepokea sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka tuliyompa. Asingetuonesha mambo haya yote, wala wakati huu asingeweza kuturuhusu tusikie mambo hayo.

Waamuzi 13:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadaye mwanamke akamzaa mtoto, akamwita jina lake Samsoni. Mtoto alikua na Bwana akambariki.

Waamuzi 13:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Roho wa Bwana akaanza kumchochea Mahane Dani, kati ya Sora na Eshtaoli.
Previous Chapter
« Waamuzi 12 (SWHULB)

Available Bible Translations

American Standard Version
Judges 13 (ASV) »
King James Version
Judges 13 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Judges 13 (GW) »
World English Bible
Judges 13 (WEB) »
Louis Segond 1910
Juges 13 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Richter 13 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
न्यायियों 13 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਕਜ਼ਾૃ 13 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
বিচাৰকর্তাবিলাক 13 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
நியாயாதிபதிகள் 13 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
शास्ते 13 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
న్యాయాధిపతులు 13 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
ન્યાયાધીશો 13 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ನ್ಯಾಯಸ್ಥಾಪಕರು 13 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلْقُضَاة 13 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
שפטים 13 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Juízes 13 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Các Thủ Lãnh 13 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Jueces 13 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Giudici 13 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
士 师 记 13 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
士 師 記 13 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Gjyqtarët 13 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
Domarboken 13 (SV1917) »
Библия на русском
Книга Судей 13 (RUSV) »
Українська Біблія
Книга Суддів 13 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
Bírák 13 (KAR) »
Българска Библия
Съдии 13 (BULG) »
聖書 日本語
士師記 13 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Xaakinnada 13 (SOM) »
De Heilige Schrift
Richtere 13 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
Dommer 13 (DA1871) »

Waamuzi (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List