Luka Chapter 18 SWHULB Bible Verse Images

Luka 18 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Luka 18 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Luka 18:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akawaambia mfano wa namna wanavyopaswa kuomba daima, na wasikate tamaa.

Luka 18:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
akaisema, 'Kulikuwa na hakimu katika mji fulani, ambaye hakuwa anamwogopa Mungu na hakuwaheshimu watu.

Luka 18:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kulikuwa na mjane katika jiji hilo, naye alimwendea mara nyingi, akisema, 'Nisaidie kupata haki dhidi ya mpinzani wangu.'

Luka 18:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa muda mrefu hakuwa tayari kumsaidia, lakini baada ya muda akasema moyoni mwake, `Ingawa mimi simwogopi Mungu au kuheshimu mtu,

Luka 18:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua nitamsaidia kupata haki yake, ili asije akanichosha kwa kunijia mara kwa mara. ''

Luka 18:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Bwana akasema, 'Sikiliza alivyosema huyo hakimu dhalimu.

Luka 18:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Je Mungu pia hataleta haki kwa wateule wake ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, yeye hatakuwa mvumilivu kwao?

Luka 18:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani? '

Luka 18:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine,

Luka 18:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
'Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo mwingine mtoza ushuru.

Luka 18:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Farisayo akasimama akaomba mambo haya juu yake mwenyewe, 'Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine ambao ni wanyang'anyi, watu wasio waadilifu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru.

Luka 18:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nafunga mara mbili kila wiki. Natoa zaka katika mapato yote ninayopata. '

Luka 18:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini yule mtoza ushuru, alisimama mbali, bila hakuweza hata kuinua macho yake mbinguni, akagonga kifua chake akisema, 'Mungu, nirehemu mimi mwenye dhambi.'

Luka 18:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nawaambia, mtu huyu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki kuliko yule mwingine, kwa sababu kila ajikwezaye atashushwa, lakini kila mtu anayejinyenyekeza atainuliwa. '

Luka 18:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu walimletea watoto wao wachanga, ili aweze kuwagusa, lakini wanafunzi wake walipoona hayo, wakawazuia.

Luka 18:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Yesu akawaita kwake akisema, 'Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie. Maana ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.

Luka 18:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hatauingia. '

Luka 18:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?'

Luka 18:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia, 'Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake.

Luka 18:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Unazijua amri- usizini, usiue, Usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.

Luka 18:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yule mtawala akasema, 'Mambo haya yote nimeyashika tangu nilipokuwa kijana.'

Luka 18:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alipoyasikia hayo akamwambia, '“Umepungukiwa jambo moja. Lazima uuze vyote ulivyonavyo na uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni -kisha njoo, unifuate. '

Luka 18:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini tajiri aliposikia hayo, alihuzunika sana, kwa sababu alikuwa tajiri sana.

Luka 18:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu, akamwona alivyohuzunika sana akasema, 'Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!

Luka 18:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. '

Luka 18:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wale waliosikia hayo, wakasema, 'Nani basi, atakayeweza kuokolewa?'

Luka 18:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akajibu, 'Mambo yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana.”

Luka 18:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Petro akasema, 'Naam, sisi tumeacha kila kitu na tumekufuata wewe. '

Luka 18:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu akawaambia, Amin, nawaambia kwamba hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,

Luka 18:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. '

Luka 18:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya kuwakusanya wale kumi na wawibili, akawaambia, 'Tazama, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote ambayo yameandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Adamu yatakamilishwa.

Luka 18:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa maana atatiwa mikononi mwa watu wa Mataifa na atatendewa dhihaka na jeuri, na kutemewa mate.

Luka 18:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya kumchapa viboko watamwua na siku ya tatu atafufuka. '

Luka 18:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hawakuelewa mambo haya, na neno hili lilikuwa limefichwa kwao, na hawakuelewa mambo yaliyosemwa.

Luka 18:35 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa Yesu ulipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiomba msaada,

Luka 18:36 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza nini kinatokea.

Luka 18:37 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakamwambia kwamba Yesu wa Nazareti anapita.

Luka 18:38 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo yule kipofu akalia kwa sauti, akisema, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.'

Luka 18:39 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
wale waliokuwa wakitembea walimkemea huyo kipofu, wakamwambia anyamaze. Lakini yeye akazidi kulia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, unirehemu.

Luka 18:40 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akasimama akaamuru mtu yule aletwe kwake. Kisha yule kipofu alipomkaribia, Yesu akamwuliza,

Luka 18:41 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
'Unataka nikufanyie nini?' Akasema, 'Bwana, nataka kuona.'

Luka 18:42 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia, 'Upate kuona. Imani yako imekuponya. '

Luka 18:43 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mara hiyo akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Walipoona hili, watu wote wakamsifu Mungu.
Previous Chapter
« Luka 17 (SWHULB)
Next Chapter
Luka 19 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
Luke 18 (ASV) »
King James Version
Luke 18 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Luke 18 (GW) »
Berean Bible
Luke 18 (BSB) »
World English Bible
Luke 18 (WEB) »
Louis Segond 1910
Luc 18 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Lukas 18 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
लूका 18 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਲੂਕਾ 18 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
লূক 18 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
லூக்கா 18 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
लूक 18 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
లూకా 18 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
લૂક 18 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಲೂಕನು 18 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
لُوقا 18 (AVD) »
Bíblia Sagrada Português
Lucas 18 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Lu-ca 18 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Lucas 18 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Luca 18 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
路 加 福 音 18 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
路 加 福 音 18 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Luka 18 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
Lukas 18 (SV1917) »
Библия на русском
Луки 18 (RUSV) »
Українська Біблія
Луки 18 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
Lukács 18 (KAR) »
Българска Библия
Лука 18 (BULG) »
Det Norsk Bibel
Lukas 18 (NORSK) »
Kitaabka Quduuska Ah
Luukos 18 (SOM) »
De Heilige Schrift
Lukas 18 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
Lukas 18 (DA1871) »

Luka (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List