Luka Chapter 4 SWHULB Bible Verse Images

Luka 4 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Luka 4 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Luka 4:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani

Luka 4:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.

Luka 4:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”

Luka 4:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”

Luka 4:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.

Luka 4:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.

Luka 4:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”

Luka 4:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”

Luka 4:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.

Luka 4:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,

Luka 4:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”

Luka 4:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”

Luka 4:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.

Luka 4:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.

Luka 4:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.

Luka 4:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.

Luka 4:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,

Luka 4:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,

Luka 4:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”

Luka 4:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.

Luka 4:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”

Luka 4:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”

Luka 4:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”

Luka 4:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”

Luka 4:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.

Luka 4:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.

Luka 4:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.

Luka 4:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.

Luka 4:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.

Luka 4:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.

Luka 4:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.

Luka 4:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.

Luka 4:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,

Luka 4:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”

Luka 4:35 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.

Luka 4:36 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”

Luka 4:37 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.

Luka 4:38 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.

Luka 4:39 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.

Luka 4:40 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.

Luka 4:41 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.

Luka 4:42 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.

Luka 4:43 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”

Luka 4:44 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.
Previous Chapter
« Luka 3 (SWHULB)
Next Chapter
Luka 5 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
Luke 4 (ASV) »
King James Version
Luke 4 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Luke 4 (GW) »
Berean Bible
Luke 4 (BSB) »
World English Bible
Luke 4 (WEB) »
Louis Segond 1910
Luc 4 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Lukas 4 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
लूका 4 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਲੂਕਾ 4 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
লূক 4 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
லூக்கா 4 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
लूक 4 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
లూకా 4 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
લૂક 4 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಲೂಕನು 4 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
لُوقا 4 (AVD) »
Bíblia Sagrada Português
Lucas 4 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Lu-ca 4 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Lucas 4 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Luca 4 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
路 加 福 音 4 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
路 加 福 音 4 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Luka 4 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
Lukas 4 (SV1917) »
Библия на русском
Луки 4 (RUSV) »
Українська Біблія
Луки 4 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
Lukács 4 (KAR) »
Българска Библия
Лука 4 (BULG) »
Det Norsk Bibel
Lukas 4 (NORSK) »
Kitaabka Quduuska Ah
Luukos 4 (SOM) »
De Heilige Schrift
Lukas 4 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
Lukas 4 (DA1871) »

Luka (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List