Matendo ya Mitume 8 SWHULB
Matendo ya Mitume Chapter 8 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sauli alikuwa kwenye makubaliano ya kifo chake. siku hiyo ndipo alipoanza kuwatesa kinyume cha kanisa lililokuwa Yerusalemu; na waaminio wote waliotawanyika katika majimbo ya Yudea na Samaria, isipokuwa mitume.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Watu wachamungu walimzika Stefano na kufanya maombolezo makubwa juu yake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Sauli alilidhuru sana kanisa. Alikwenda nyumba kwa nyumba na kuwaburuza nje wanawake na waume, na kuwatupia gerezani.
Square Portrait Landscape 4K UHD
waaminio ambao walikuwa wametawanyika bado walilihubiri neno.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Filipo akashuka katika mji wa Samaria na akamtangaza Kristo huko.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya makutano kusikia na kuona ishara alizofanya Filipo; wakaweka umakini juu ya kile alichosema.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kutoka hapo watu wengi waliosikia, pepo wachafu waliwatoka watu huku wakilia kwa sauti kubwa, na wengi waliopooza na viwete waliponywa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na kulikuwa na furaha kubwa katika mji.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini palikuwa na mtu mmoja katika mji ule jina lake Simon, ambaye alikuwa akifanya uchawi; ambao aliutumia kuwashangaza watu wa taifa la Samaria, wakati akisema kuwa yeye ni mtu wa muhimu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wasamaria wote tangu mdogo hata mkubwa, wakamsikiliza; wakasema;”mtu huyu ni ile nguvu ya Mungu ambayo ni kuu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mrefu kwa uchawi wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini wakati walipoamini kuwa Filipo alihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na Simoni mwenyewe aliamini: baada ya kubatizwa, aliendelea kuwa na Filipo; alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria imepokea neno la Mungu, wakawatuma Petro na Yohana.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati walipokuwa wakishuka wakawaombea; kwamba wampokee Roho Mtakatifu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mpaka muda huo, Roho Mtakatifu alikuwa hajawashukia hata mmoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo Petro na Yohana wakawawekea mikono, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati Simoni alipoona kwamba Roho Mtakatifu ametolewa kupitia kuwekewa mikono na mitume; akataka kuwapa pesa,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, “Nipeni hii nguvu, ili kila nitakayemwekea mikono apokee Roho Mtakatifu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Petro akamwambia; pesa yako pamoja na wewe ipotelee mbali, kwa sababu umedhani kuwa karama ya Mungu inapatikana kwa pesa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hauna sehemu katika jambo hili, kwa sababu moyo wako si mnyoofu mbele za Mungu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo basi tubu maovu yako na kumwomba Mungu labda utasamehewe fikra za moyo wako.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa maana naona uko katika sumu ya uchungu na kifungo cha dhambi.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Simoni akajibu na kusema, “Mwombeni Bwana kwa ajili yangu, kwa kuwa mambo yote mliyozungumza yaweza kunitokea.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wameshuhudia na kuhubiri neno la Bwana, walirudi Yerusalemu kwa njia hiyo; walihubiri injili katika vijiji vingi vya Wasamaria.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi malaika wa Bwana akanena na Filipo na kusema, “Angaza na uende kusini katika njia iendayo chini ya Yerusalemu kuelekea Gaza.” ( Njia hii iko katika jangwa).
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaangaza na kwenda. Tazama, kulikuwa na mtu wa Ethiopia, towashi mwenye mamlaka kuu chini ya kandase; malkia wa Ethiopia. Aliyewekwa juu ya hazina yake yote; naye alikuwa amekwenda Yerusalemu kuabudu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alikuwa akirejea ameketi garini mwake akisoma chuo cha nabii Isaya.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Roho akasema na Filipo, “Sogea karibu na gari hili ukashikamane nalo.
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Hivyo Filipo akaenda mbio, akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya; akasema, Je unafahamu unachosoma?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Muethiopia akasema, “nitawezaje mtu asiponiongoza?” Akamsihi Filipo apande garini na kuketi pamoja naye.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa fungu la maandiko alilokuwa akisoma Muethiopia ni hili; Aliongozwa kama kondoo kwenda machinjioni kuchinjwa; na kama kondoo alinyamaza kimya, hakufungua kinywa chake:
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa: Nani ataeleza kizazi chake? maisha yake yameondolewa katika nchi.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo towashi akamwuliza Filipo, na kusema, “nakuomba, ni nabii yupi ambaye anaongelewa habari zake, ni kuhusu yeye, au za mtu mwingine”?.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Filipo alianza kuongea, alianza kwa andiko hili la Isaya kumhubiria habari za Yesu.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakiwa njiani, wakafika penye maji,' towashi akasema, “Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?,
Square Portrait Landscape 4K UHD
maneno haya, “Hivyo Muethiopia akajibu “naamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,” hayamo kwenyemaandiko ya kale). Ndipo Muethiopia akaamuru gari lisimame.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walikwenda ndani ya maji, pamoja Filipo na towashi, Filipo akambatiza.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakati walipotoka kwenye maji, Roho wa Bwana ikampeleka Filipo mbali; towashi hakumwona, akaenda njia yake akishangilia.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Philipo akatokea Azoto. Alipita katika mkoa ule na kuhubiri injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria.
Available Bible Translations
Acts 8 (ASV) »
Acts 8 (KJV) »
Acts 8 (GW) »
Acts 8 (BSB) »
Acts 8 (WEB) »
Actes 8 (LSG) »
Apostelgeschichte 8 (LUTH1912) »
प्रेरितों के काम 8 (HINIRV) »
ਰਸੂਲਾਂ ਦੇ ਕਰਤੱਬ 8 (PANIRV) »
पশিষ্যচরিত 8 (BENIRV) »
அப்போஸ்தலருடைய நடபடிகள் 8 (TAMIRV) »
प्रेषितांचीं कृत्यें 8 (MARIRV) »
అపొస్తలుల కార్యములు 8 (TELIRV) »
પ્રેરિતોનાં ક્રત્યો 8 (GUJIRV) »
ಅಪೊಸ್ತಲರ ಕೃತ್ಯಗಳು 8 (KANIRV) »
أَعْمَالُ ٱلرُّسُلِ 8 (AVD) »
מעשי השליחים 8 (HEB) »
Atos 8 (BSL) »
Công Vụ Các Sứ đồ 8 (VIE) »
Hechos 8 (RVA) »
Atti 8 (RIV) »
使 徒 行 传 8 (CUVS) »
使 徒 行 傳 8 (CUVT) »
Veprat e Apostujve 8 (ALB) »
Apostlagärningarna 8 (SV1917) »
Деяния 8 (RUSV) »
Дії 8 (UKR) »
Apostolok 8 (KAR) »
Деяния 8 (BULG) »
使徒行伝 8 (JPN) »
Apostlenes gjerninger 8 (NORSK) »
Dzieje 8 (POLUBG) »
Falimaha Rasuullada 8 (SOM) »
Handelingen 8 (NLD) »
Apostlenes Gerninger 8 (DA1871) »