Marko 3 SWHULB
Marko Chapter 3 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na tena aliingia ndani ya sinagogi na mle palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili kwamba wamshitaki.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alimwambia mtu mwenye mkono uliopooza, “ Inuka na usimame katikati ya umati huu.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akawaambia watu, “Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato au kutenda yasiyo haki; kuokoa maisha, au kuua?” Lakini walibaki kimya.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akawaangalia kwa hasira, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, na akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako”. Akaunyoosha na Yesu akamponya mkono wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mafarisayo wakaenda nje na mara wakafanya njama pamoja na Maherode dhidi yake ili kumuua.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi wake, walienda baharini, na umati mkubwa wa watu uliwafuata ukitokea Galilaya na Uyahudi
Square Portrait Landscape 4K UHD
na kutoka Yerusalemu na kutoka Idumaya na mbele ya Yorodani na jirani ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa, uliposikia kila kitu alichokuwa anakifanya, walikuja kwake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na aliwaambia wanafunzi wake kuandaa mtubwi mdongo kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasije wakamsonga.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa aliponya wengi, ili kila mtu aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumfikia ili amguse.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Popote roho wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia, na walisema, “Wewe ni Mwana wa Mungu”.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alienda juu ya mlima, na akawaita aliowataka, na wakaenda kwake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akawachagua kumi na wawili (aliowaita mitume), ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na akawachagua kumi na wawili: Simoni, aliyempa jina la Petro,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, aliyepewa jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo,
Square Portrait Landscape 4K UHD
na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha alienda nyumbani, na umati wa watu wakaja pamoja tena, hata wasiweze kula hata mkate.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Familia yake waliposikia habari hiyo, walienda kumkamata, kwani walisema, “ Amerukwa na akili”.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Waandishi waliokuja kutoka Yerusalemu walisema, “ Amepagawa na Beelzebuli,” na, “ Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo”.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu aliwaita kwake na kusema nao kwa mifano, “ Jinsi gani Shetani aweza kumtoa Shetani?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama ufalme ukigawanyika wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kweli nawambieni, dhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka,
Square Portrait Landscape 4K UHD
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alilisema hili kwa sababu walikuwa wakisema, “Ana roho chafu”.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia, “mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe”.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Aliwajibu, “Ni nani mama yangu na ndugu zangu?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema, “Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu!
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu”.
Available Bible Translations
Mark 3 (ASV) »
Mark 3 (KJV) »
Mark 3 (GW) »
Mark 3 (BSB) »
Mark 3 (WEB) »
Marc 3 (LSG) »
Markus 3 (LUTH1912) »
मरकुस 3 (HINIRV) »
ਮਰਕੁਸ 3 (PANIRV) »
মার্ক 3 (BENIRV) »
மாற்கு 3 (TAMIRV) »
मार्क 3 (MARIRV) »
మార్కు 3 (TELIRV) »
માર્ક 3 (GUJIRV) »
ಮಾರ್ಕನು 3 (KANIRV) »
مَرْقُس 3 (AVD) »
הבשורה על־פי מרקוס 3 (HEB) »
Marcos 3 (BSL) »
Mác 3 (VIE) »
Marcos 3 (RVA) »
Marco 3 (RIV) »
马 可 福 音 3 (CUVS) »
馬 可 福 音 3 (CUVT) »
Marku 3 (ALB) »
Markus 3 (SV1917) »
Марка 3 (RUSV) »
Марка 3 (UKR) »
Márk 3 (KAR) »
Марко 3 (BULG) »
マルコによる福音書 3 (JPN) »
Markus 3 (NORSK) »
Marka 3 (POLUBG) »
Markos 3 (SOM) »
Markus 3 (NLD) »
Markus 3 (DA1871) »