Yohana Chapter 18 SWHULB Bible Verse Images

Yohana 18 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Yohana 18 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Yohana 18:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya Yesu kusema maneno haya, aliondoka na wanafunzi wake kuelekea bonde la Kidron, ambako kulikuwa na bustani, ambako yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.

Yohana 18:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa yule Yuda, aliyetaka kumsaliti, naye alilijua eneo hilo, kwani Yesu alikuwa akienda hili eneo mara kadhaa akiwa na wanafunzi wake.

Yohana 18:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye Yuda, baada ya kuwa amepata kundi la maaskari na maofisa toka kwa wakuu wa makuhani, wakaja wakiwa na taa, kurunzi na silaha.

Yohana 18:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye Yesu, hali akijua kila kitu kilichokuwa kikifanyika dhidi yake, alijitokeza mbele na akawauliza, “Ni nani mnayemtafuta?”

Yohana 18:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nao wakamjibu, “Yesu Mnazareth.” Yesu akawaambia, “Mimi ndiye” Naye Yuda aliyemsaliti, alikuwa amesimama pamoja na wale askari.

Yohana 18:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo alipowaambia, “Mimi ndiye” walirudi kinyume na kuanguka chini.

Yohana 18:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Halafu akawauliza tena, “Ni nani mnayemtafuta? Nao wakamjibu tena “Yesu mnazareth.”

Yohana 18:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawajibu, “Nimekwisha kuwaambia kuwa Mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa wengine waende.”

Yohana 18:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Haya yalikuwa hivyo ili lile neno litimilike; pale aliposema; “Katika wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja.”

Yohana 18:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo Simon Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani mkuu. Na jina lake mtumishi yule lilikuwa Malko.

Yohana 18:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Kwa nini nisikinywee kikombe kile alichonipa Baba?”

Yohana 18:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi lile kundi la askari na jemedari, na watumishi wa Wayahudi, walimkamata Yesu na kumfunga.

Yohana 18:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nao wakamwongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani yeye alikuwa mkwe wa Kayafa, ambaye ndiye aliyekuwa Kuhani mkuu kwa mwaka huo.

Yohana 18:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa Kayafa ndiye aliyekuwa amewapa ushauri Wayahudi ya kwamba ilimpasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.

Yohana 18:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Simon Petro alimfuata Yesu, na vivyo hivyo mwanafunzi mwingine. Na yule mwanafunzi alikuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, naye akaingia pamoja na Yesu katika behewa ya Kuhani mkuu;

Yohana 18:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
lakini Petro alikuwa amesimama nje ya mlango. Basi yule mwanafunzi aliyekuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, alitoka nje akaenda kuongea na yule mwanamke mtumishi aliyekuwa akilinda mlango na kumwingiza Petro ndani.

Yohana 18:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi yule kijakazi aliyekuwa akilinda mlango, alimwambia Petro, “Je wewe si mmoja wa wafuasi wa huyu mtu?” Naye akasema, “Mimi siye.”

Yohana 18:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na wale watumishi na wakuu walikuwa wakisimama mahali pale; wamekoka moto wa kwa maana, kulikuwa na baridi, na hivyo walikuwa wakiota moto ili kupata joto. Naye Petro alikuwa nao, akiota moto akiwa amesimama.

Yohana 18:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuhani mkuu alimhoji Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.

Yohana 18:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamjbu, “Nimeuambia waziwazi ulimwengu; Mimi nilifundisha mara kwa mara kwenye masinagogi na hekaluni mahali ambapo wayahudi hukusanyika. Nami sikusema lolote katika siri.

Yohana 18:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa nini mliniuliza? Waulizeni walionisikiliza juu ya kile nilichosema. Hawa watu wanajua mambo yale niliyosema.

Yohana 18:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alipokwisha sema hivyo, mmoja wa wakuu aliyekuwa amesimama akampiga Yesu kwa mkono wake na kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo inavyokupasa kumjibu kuhani mkuu?”

Yohana 18:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye Yesu akamjibu, “Kama nimesema jambo lolote baya basi uwe shahidi kwa ajili ya uovu, na kama nimemjibu vyema kwa nini kunipiga?

Yohana 18:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo Anasi alipompeleka Yesu kwa Kayafa kuhani mkuu akiwa amefungwa.

Yohana 18:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akijipasha joto mwenyewe. Halafu wale watu wakamwambia. “Je, wewe pia si mmoja wa wanaafunzi wake?” Akakana akisema “Mimi siye.”

Yohana 18:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ambaye alikuwa ndugu wa yule mwanaume ambaye Petro alimkata sikio, alisema, “Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini?”

Yohana 18:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Petro akakana tena, na mara Jogoo akawika.

Yohana 18:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha wakamchukua Yesu toka kwa Kayafa mpaka kwenye Praitorio. Ilikwa asubuhi na mapema. Wao wenyewe hawakuiingia ile Praitorio ili wasije wakanajisika na kuila pasaka.

Yohana 18:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo Pilato akawaendea akisema. “Ni shitaka gani linalomhusu huyu mtu?”

Yohana 18:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakamjibu na kumwambia, “Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.”

Yohana 18:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kulingana na sheria yenu.” Nao Wayahudi wakamwambia, “Sheria haituruhusu sisi kumwua mtu yeyote.”

Yohana 18:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walisema haya ili neno la Yesu litimilike, neno ambalo alikuwa amekwisha sema juu ya aina ya kifo chake.

Yohana 18:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Basi Pilato akaingia tena Praitorio akumwita Yesu; akamwambia, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?”

Yohana 18:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamjibu, “Je, wewe waniuliza swali hili kwa Sababu wataka kujua au kwa sababu wengine wamekutuma ili uniulize mimi?”

Yohana 18:35 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, au sivyo?” Taifa lako na kuhani mkuu ndio waliokuleta kwangu; wewe umefanya nini?

Yohana 18:36 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akajibu; “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa na sehemu katika ulimwengu huu watumwa wangu wangenipigania ili nisitolewe kwa wayahudi. Kwa kweli ufalme wangu hautoki hapa” Basi

Yohana 18:37 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pilato akamwambia, “Je, wewe basi u mfalme?” Yesu akajibu, “wewe ndivyo unanvyosema kuwa mimi ni mfalme, Kwa sababu hii mimi nilizaliwa na kwa sababu hii mimi nimekuja ulimwenguni ili niwe shahidi wa ile kweli. Yeyote aliye wa hiyo kweli huisikiliza sauti yangu.

Yohana 18:38 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pilato akamwambia, “Kweli ni nini?” Naye alipokwisha sema haya akaenda kwa Wayahudi na kuwaambia “Siona katika lolote mtu huyu.

Yohana 18:39 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ninyi mna utamaduni unaonifanya nimfunfungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Je mnataka nimfungulie mfalme wa Wayahudi.”

Yohana 18:40 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha walipiga kelele wakisema, siyo huyu, tufungulie Baraba.” Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.
Previous Chapter
« Yohana 17 (SWHULB)
Next Chapter
Yohana 19 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
John 18 (ASV) »
King James Version
John 18 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
John 18 (GW) »
Berean Bible
John 18 (BSB) »
World English Bible
John 18 (WEB) »
Louis Segond 1910
Jean 18 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
यूहन्ना 18 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਯੂਹੰਨਾ 18 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
যোহন 18 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
யோவான் 18 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
योहान 18 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
యోహాను 18 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
યોહાન 18 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಯೋಹಾನನು 18 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
يوحنَّا 18 (AVD) »
Bíblia Sagrada Português
João 18 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Giăng 18 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Juan 18 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Giovanni 18 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
约 翰 福 音 18 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
約 翰 福 音 18 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Gjoni 18 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
Johannes 18 (SV1917) »
Библия на русском
Иоанна 18 (RUSV) »
Українська Біблія
Івана 18 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
János 18 (KAR) »
Българска Библия
Йоан 18 (BULG) »
Kitaabka Quduuska Ah
Yooxanaa 18 (SOM) »
De Heilige Schrift
Johannes 18 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
Johannes 18 (DA1871) »

Yohana (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List