Yohana Chapter 20 SWHULB Bible Verse Images

Yohana 20 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Yohana 20 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Yohana 20:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mapema siku ya kwanza ya juma, kungali bado giza, Mariamu Magdalena alikuja kaburini; akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini.

Yohana 20:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo akakimbia mbio kwenda kwa Simon Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, kisha akawaambia, “wamemchukua Bwana kaburini, nasi hatujui kule walikomlaza.”

Yohana 20:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Petro na yule mwanafunzi mwingine wakatoka, kuelekea kaburini.

Yohana 20:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wote walipiga mbio kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine alikimbia kwa kasi zaidi ya Petro nakufika kaburini wa kwanza.

Yohana 20:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasimama na kisha kuangalia kaburini; akaiona ile sanda ya kitani imelala, lakini hakuingia ndani.

Yohana 20:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Simon Petro naye akafika akaingia ndani ya Kaburi. Akaiona ile sanda ya kitani imelala pale

Yohana 20:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
na ile leso iliyokuwa kichwani pake haikuwa imelala pamoja na zile sanda za kitani bali ilikuwa imelala pembeni peke yake.

Yohana 20:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo yule mwanafunzi mwingine naye alipoingia ndani ya kaburi; akaona na kuamini.

Yohana 20:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa hadi wakati huo walikuwa bado hawajayajua maandiko kwamba ilimlazimu Yesu afufuke tena katika wafu.

Yohana 20:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha wanafunzi wakaenda tena nyumbani kwao.

Yohana 20:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hata hivyo, Mariamu alikuwa amesimama kaburini akilia, alivyokuwa akiendelea kulia alisimama kisha akatazama kaburini.

Yohana 20:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaona malaika wawili wenye sura nyeupe wamekaa mmoja kichwani na mwingine miguuni mahali ambapo Yesu alikuwa amelala.

Yohana 20:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nao wakamwambia, “Mwanamke, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Ni kwa sababu wamemchukua Bwana wangu, nami sijui walikomweka.”

Yohana 20:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alipokwisha sema hayo, aligeuka na kumwona Yesu akiwa amesimama. Lakini hakutambua kama huyo alikuwa Yesu.

Yohana 20:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye Yesu akamwambia, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Naye huku akidhani kuwa ni mtunza bustani akamwambia, “Bwana, kama ni wewe uliyemchukua, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.”

Yohana 20:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia, “Mariamu.” Naye akageuka mwenyewe na kumwambia kwa Kiaramu, “Raboni,” yaani hii ni kusema, “Mwalimu.”

Yohana 20:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia, “Usiniguse, kwani bado sijapaa kwenda kwa baba; bali uende kwa ndugu zangu ukawaambie kuwa nitapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye pia ni Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”

Yohana 20:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mariamu Magdalena akaja kuwaambia wanafunzi, “Nimemwona Bwana,” na kwamba amemwambia mambo haya.

Yohana 20:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na ilipokuwa jioni, siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, na milango ikiwa imefungwa mahali wanafunzi walipokuwapo kwa kuwahofia Wayahudi, Yesu alikuja na kusimama katikati yao na kuwaambia, “Amani iwe kwenu.”

Yohana 20:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alipokwisha sema haya akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Nao wanafunzi walipomwona Bwana walifurahi.

Yohana 20:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu akawaambia tena, “Amani iwe nanyi. Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi.”

Yohana 20:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alipokwisha sema hayo, akawavuvia akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.

Yohana 20:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yeyote mmsameheye dhambi, wamesamehewa; na wale mtakaowafungia watafungiwa.”

Yohana 20:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Thomaso, mmoja wa wale kumi na wawili, aliyeitwa Didimas, hakuwa na wanafunzi wenzake Yesu alipokuja.

Yohana 20:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wale wanafunzi wengine waka mwambia baadaye, “Tumemwona Bwana.” Naye akawambia, “Kama sitaona alama za misumari katika mikono yake, na kuweka vidole vyangu kwenye hizo alama, na pia kuweka mkono wangu kwenye ubavu wake sitaamini.”

Yohana 20:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya siku nane wanafunzi walikuwa chumbani tena, naye Thomaso alikuwa pamoja nao. Wakati milango ilipokuwa imefungwa Yesu alisimama katikati yao. na akasema, “Amani na iwe nanyi.”

Yohana 20:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akamwambia Thomaso, leta kidole chako na uone mikono yangu; leta hapa mikono yako na uweke kwenye ubavu wangu; wala usiwe asiyeamini bali aaminiye.”

Yohana 20:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Naye Thomaso akajibu na kumwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu.”

Yohana 20:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini. Wamebarikiwa wao wanaoamini, pasipokuona.”

Yohana 20:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yesu alifanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi, ambazo hazijawahi kuandikwa katika kitabu hiki;

Yohana 20:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
bali hizi zimeandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana wa Mungu, na kwamba muaminipo muwe na uzima katika jina lake.
Previous Chapter
« Yohana 19 (SWHULB)
Next Chapter
Yohana 21 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
John 20 (ASV) »
King James Version
John 20 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
John 20 (GW) »
Berean Bible
John 20 (BSB) »
World English Bible
John 20 (WEB) »
Louis Segond 1910
Jean 20 (LSG) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
यूहन्ना 20 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਯੂਹੰਨਾ 20 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
যোহন 20 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
யோவான் 20 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
योहान 20 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
యోహాను 20 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
યોહાન 20 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಯೋಹಾನನು 20 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
يوحنَّا 20 (AVD) »
Bíblia Sagrada Português
João 20 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Giăng 20 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Juan 20 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Giovanni 20 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
约 翰 福 音 20 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
約 翰 福 音 20 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Gjoni 20 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
Johannes 20 (SV1917) »
Библия на русском
Иоанна 20 (RUSV) »
Українська Біблія
Івана 20 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
János 20 (KAR) »
Българска Библия
Йоан 20 (BULG) »
Kitaabka Quduuska Ah
Yooxanaa 20 (SOM) »
De Heilige Schrift
Johannes 20 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
Johannes 20 (DA1871) »

Yohana (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List