Yohana Chapter 5 SWHULB Bible Verse Images

Yohana 5 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Yohana 5 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Yohana 5:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya hapo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, na Yesu alipanda kwenda Yerusalemu.

Yohana 5:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na kule Yerusalemu palikuwa na birika kwenye mlango wa kondoo, lililokuwa likiitwa kwa lugha ya Kiebrania Bethzatha, nalo lina matao matano.

Yohana 5:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Idadi kubwa ya wagonjwa ilikuwemo, vipofu, viwete, au waliopooza walikuwa wamelala katika matao hayo. {Zingatia: Maneno ya mstari wa 3 hayaonekani katika nakala nzuri za kale. “Wakisubiri maji kutibuliwa.”) Kwa hakikia wakati fulani malaika alishuka ndani ya Bwana na kuyatibua maji.

Yohana 5:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwahiyo, yule ambaye alikuwa wa kwanza kuingia ndani ya baada ya maji kutibuliwa alifanywa mzima kutokana na chochote kilichokuwa kimemshika kwa wakati huo.

Yohana 5:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Na mtu mmoja aliyekuwa ameugua kwa muda wa miaka thelathini na minane alikuwa ndani ya matao.

Yohana 5:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu alipomwona amelala ndani ya matao na baada ya kutambua kuwa amelala pale kwa muda mrefu Yesu alimwambia, “Je unataka kuwa mzima?”

Yohana 5:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yule mgonjwa akamjibu, “Bwana sina mtu, wa kuniweka katika birika wakati maji yanapotibuliwa. Wakati ninapojaribu kuingia mtu mwingine hunitangulia.”

Yohana 5:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akamwambia, “Inuka na uchukue godoro lako na uende.”

Yohana 5:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mara yule mtu akaponywa, akachukua kintanda chake na akaenda. Na siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato.

Yohana 5:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo Wayahudi wakamwambia yule mtu aliyeponywa, “Leo ni siku ya Sabato, na hauruhusiwi kubeba godoro lako.”

Yohana 5:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akajibu, yeye aliyeniponya ndiye aliyeniambia, “Chukua godoro lako na uende.”

Yohana 5:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wakauliza, “Ni nani aliyekuambia 'Chukua godoro lako na uende?'''

Yohana 5:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ingawa, yule aliyeponywa hakumjua, kwa sababu Yesu alikuwa ameondoka kwa siri. Kwa kuwa kulikuwa na watu wengi katika sehemu hiyo.

Yohana 5:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya hapo Yesu alimkuta yule mtu hekaluni na akamwambia, “Tazama, umepona! “Usitende dhambi tena usije ukapatwa na jambo baya zaidi.”

Yohana 5:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yule mtu akaenda na kuwataarifu Wayahudi kuwa Yesu ndiye aliyemponya.

Yohana 5:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo, kwa sababu ya mambo hayo Wayahudi walimtesa Yesu, kwa sababu alifanya mambo haya siku ya Sabato.

Yohana 5:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawambia, “Baba yangu anafanya kazi hata sasa nami nafanya kazi.”

Yohana 5:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kumtafuta ili wamuue sio tu kwa sababu ya kuivunja Sabato, bali kwa kumwita Mungu Baba yake, akijifanya kuwa sawa na Mungu.

Yohana 5:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yesu akawajibu, “Amini, amini, Mwana hawezi kufanya kitu chochote isipokuwa kile ambacho amemwona Baba yake anakifanya, kwa kuwa chochote Baba akifanyacho ndicho na Mwana atakachofanya.

Yohana 5:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa Baba ampenda Mwana, na amwonyesha kila kitu anachokifanya na atamwonyesha mambo makubwa kuliko haya ili kwamba mzidi kushangaa.”

Yohana 5:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa kama vile ambavyo Baba awafufuavyo wafu na kuwapa uzima, halikadhalika Mwana pia humpa yeyote ampendaye.

Yohana 5:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa Baba hamhukumu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote

Yohana 5:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
ili kwamba wote wamuheshimu Mwana kama vile Mwana anavyomuheshimu Baba. Yeye asiyemuheshimu Mwana hamuheshimu Baba aliyemtuma.

Yohana 5:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani.

Yohana 5:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Amini, amini, nawambia wakati unakuja na sasa upo ambao wafu watasikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wote watakao sikia wataishi.

Yohana 5:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa kuwa kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe,

Yohana 5:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
kadhalika amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake, na Baba amempa Mwana mamlaka ili kwamba ahukumu kwa kuwa ni Mwana wa Adamu.

Yohana 5:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Msishangazwe na hili, kwa kuwa wakati unakuja ambao wafu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake

Yohana 5:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
nao watatoka nje: kwa waliotenda mema kwa ufufuo wa uzima, na walio tenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.

Yohana 5:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Siwezi kufanya kitu chochote kutoka kwangu mwenyewe. Kama nisikiavyo, ndivyo ninavyo hukumu na hukumu yangu ni ya haki kwa kuwa sitafuti mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.

Yohana 5:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama nikijishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu usingelikuwa wa kweli.

Yohana 5:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kuna mwingine anayeshuhudia kuhusu mimi na ninajua kwa hakika ushuhuda anaonishuhudia ni wa kweli.

Yohana 5:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mmetuma kwa Yohana naye ameishuhudia kweli.

Yohana 5:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hatahivyo, ushuhuda ninaoupokea hautoki kwa mwanadamu. Ninayasema haya ili kwamba mweze kuokolewa.

Yohana 5:35 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yohana alikuwa ni taa iliyokuwa ikiwaka na kung'ara, na mlikuwa tayari kuifurahia kwa muda kitambo nuru yake.

Yohana 5:36 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ushuhuda nilionao ni mkuu kuliko ule wa Yohana, kwa kazi ambazo Baba amenipa kuzikamilisha, hizo kazi nizifanyazo zashuhudia kuwa Baba amenituma.

Yohana 5:37 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baba aliyenituma yeye mwenyewe ameshuhudia kuhusu mimi. Hamjawahi kusikia sauti yake wala kuona umbo lake wakati wowote.

Yohana 5:38 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hamna neno lake likikaa ndani yenu kwa kuwa hamumwamini yeye aliyetumwa.

Yohana 5:39 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na

Yohana 5:40 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima wa milele.

Yohana 5:42 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
lakini ninajua kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu ninyi wenyewe.

Yohana 5:43 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nimekuja kwa jina la Baba yangu, hamukuweza kunipokea. Kama mwingine akija kwa jina lake mngempokea.

Yohana 5:44 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Je mnawezaje kuamini ninyi ambao mnapokea sifa kutoka kwa kila mmoja wenu lakini hamtafuti sifa itokayo kwa Mungu wa pekee?

Yohana 5:45 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Msidhani mimi nitawashitaki mbele za Baba. Anayewashitaki ninyi ni Musa, ambaye ninyi mmeweka matumaini yenu kwake.

Yohana 5:46 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama mngekuwa mnamwamini Musa, mngeniamini mimi kwa sababu aliandika kuhusu habari zangu.

Yohana 5:47 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kama hamuamini maandiko yake, mtawezaje kuamini maneno yangu.?
Previous Chapter
« Yohana 4 (SWHULB)
Next Chapter
Yohana 6 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
John 5 (ASV) »
King James Version
John 5 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
John 5 (GW) »
Berean Bible
John 5 (BSB) »
World English Bible
John 5 (WEB) »
Louis Segond 1910
Jean 5 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Johannes 5 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
यूहन्ना 5 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਯੂਹੰਨਾ 5 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
যোহন 5 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
யோவான் 5 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
योहान 5 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
యోహాను 5 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
યોહાન 5 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಯೋಹಾನನು 5 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
يوحنَّا 5 (AVD) »
Bíblia Sagrada Português
João 5 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Giăng 5 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Juan 5 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Giovanni 5 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
约 翰 福 音 5 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
約 翰 福 音 5 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Gjoni 5 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
Johannes 5 (SV1917) »
Библия на русском
Иоанна 5 (RUSV) »
Українська Біблія
Івана 5 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
János 5 (KAR) »
Българска Библия
Йоан 5 (BULG) »
Det Norsk Bibel
Johannes 5 (NORSK) »
Polska Biblia
Jana 5 (POLUBG) »
Kitaabka Quduuska Ah
Yooxanaa 5 (SOM) »
De Heilige Schrift
Johannes 5 (NLD) »
Dansk Bibel 1871
Johannes 5 (DA1871) »

Yohana (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List