Mwanzo Chapter 21 SWHULB Bible Verse Images

Mwanzo 21 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Mwanzo 21 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Mwanzo 21:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yahwe akamsikiliza Sara kwa umakini kama alivyo kuwa amemwambia, Yahwe akamfanyia Sara kama alivyo kuwa amemwahidi.

Mwanzo 21:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sara akachukua mimba na akamzalia Abraham mtoto wa kiume katika uzee wake, katika muda ule ule ambao Mungu alikuwa amemwambia.

Mwanzo 21:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham akamwita jina mwanawe, ambaye alizaliwa kwake, na Sara, Isaka.

Mwanzo 21:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham akamtahiri mwanawe Isaka alipofikisha siku nane, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza.

Mwanzo 21:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham alikuwa na umri wa miaka mia moja wakati mwanawe Isaka anazaliwa kwake.

Mwanzo 21:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sara akasema, “Mungu amenifanya nicheke; kila mtu atakaye sikia atacheka pamoja na nami.”

Mwanzo 21:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pia akasema, “Nani angesema kwa Abraham kwamba Sara atalea mtoto, na sasa kweli nimemzalia mtoto wakiume katika uzee wake!”

Mwanzo 21:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtoto akakua na akaachishwa kunyonya, na Abraham akafanya sherehe kubwa katika siku ambayo Isaka aliachishwa.

Mwanzo 21:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sara akamwona mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alikuwa amezaliwa kwa Abraham, akidhihaki.

Mwanzo 21:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo akamwambia Abraham, “Mfukuze huyu mwanamke huyu mtumwa pamoja na mtoto wake: kwa kuwa mtoto huyu wa mwanamke mtumwa hawezi kuwa mrithi pamoja na mwanangu Isaka.”

Mwanzo 21:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Jambo hili likamuhuzunisha sana Abraham kwa sababu ya mwanawe.

Mwanzo 21:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini Mungu akamwambia Abraham, “Usihuzunike kwa sababu ya kijana huyu, na kwa sababu ya mwanamke huyu mtumwa wako. Sikiliza maneno asemayo Sara juu ya jambo hili, kwa sababu itakuwa kupitia Isaka kwamba uzao wako utaitwa.

Mwanzo 21:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nitamfanya pia mtoto wa mjakazi kuwa taifa, kwa sababu ni uzao wako.”

Mwanzo 21:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji, akampatia Hajiri, akiweka juu ya bega lake. Akamtoa kijana akampatia Hajiri na akawaondoa. Hajiri akaondoka akapotea katika jangwa la Beerisheba.

Mwanzo 21:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Maji yalipokwisha kwenye kiriba akamtelekeza kijana katika moja ya vichaka.

Mwanzo 21:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha akaondoka, na akakaa umbali kidogo na yule kijana, umbali kama wa kutupa mshale, kwa vile alisema, “Na nisitazame kifo cha mtoto.” Alipokuwa amekaa kumkabili, akapaza sauti yake akalia.

Mwanzo 21:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu akasikia kilio cha kijana, na malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, “Nini kinakusumbua? Usiogope, kwa kuwa Mungu amesikia kilio cha kijana mahali alipo.

Mwanzo 21:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Inuka msimamishe mtoto, na umtie moyo; kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.”

Mwanzo 21:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Mungu akayafunua macho ya Hajiri, natazama akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, na akampatia kijana akanywa.

Mwanzo 21:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mungu akawa pamoja na kijana, na akakua. Akaishi jangwani akawa mwindaji.

Mwanzo 21:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaishi katka jangwa la Parani, na mama yake akampatia mke kutoka Misri.

Mwanzo 21:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa kwamba katika wakati ule Abimeleki na Fikoli kamanda wa jeshi lake akamwambia Abraham, akisema, “Mungu yuko pamoja na wewe katika yote uyatendayo.

Mwanzo 21:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Sasa niapie kwa Mungu kwamba hutanifanyia baya, wala mwanangu, wala uzao wangu. Onesha kwangu na kwa nchi ambayo umekuwa ukikaa agano lile lile la uaminifu ambalo nimekuonesha wewe.”

Mwanzo 21:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham pia akamlalamikia Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya.

Mwanzo 21:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abimeleki akasema, “Sijui ni nani amefanya jambo hili. Hukuniambia mapema; na sijalisikia ila leo hii.”

Mwanzo 21:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo Abraham akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki, na wawili hawa wakafanya agano.

Mwanzo 21:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba pekeyao.

Mwanzo 21:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga pekeyao?”

Mwanzo 21:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akajibu, “Hawa wanakondoo wa kike saba utawapokea kutoka mkonono mwangu, ili kwamba uwe ushahidi kwangu, kuwa nichimba kisima hiki.”

Mwanzo 21:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa hiyo akaita mahali pale Beerisheba, kwa sababu mahali pale wote wawili wali apa kiapo.

Mwanzo 21:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Walifanya agano hapo Bersheba, kisha Abimeleki na Fikoli, amiri wa jeshi, wakarudi katika nchi ya Wafilisti.

Mwanzo 21:33 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham akapanda mti wa mkwaju katika Beerisheba. Na pale akamwabudu Yahwe, Mungu wa milele.

Mwanzo 21:34 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Abraham akasalia kuwa mgeni katika nchi ya Wafilisti kwa siku nyingi.
Previous Chapter
« Mwanzo 20 (SWHULB)
Next Chapter
Mwanzo 22 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
Genesis 21 (ASV) »
King James Version
Genesis 21 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Genesis 21 (GW) »
World English Bible
Genesis 21 (WEB) »
Louis Segond 1910
Genèse 21 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Genesis 21 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
उत्पत्ति 21 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਪੈਦਾਇਸ਼ 21 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
আদি 21 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
ஆதியாகமம் 21 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
उत्पत्ति 21 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
ఆదికాండం 21 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
ઉત્પત્તિ 21 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಆದಿಕಾಂಡ 21 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلتَّكْوِينُ 21 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
בראשית 21 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Gênesis 21 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Sáng Thế 21 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Génesis 21 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Genesi 21 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
创 世 纪 21 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
創 世 記 21 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Zanafilla 21 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
1 Mosebok 21 (SV1917) »
Библия на русском
Бытие 21 (RUSV) »
Українська Біблія
Буття 21 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
1 Mózes 21 (KAR) »
Българска Библия
Битие 21 (BULG) »
聖書 日本語
創世記 21 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Bilowgii 21 (SOM) »
De Heilige Schrift
Genesis 21 (NLD) »

Mwanzo (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List