Mwanzo Chapter 32 SWHULB Bible Verse Images

Mwanzo 32 Bible Verse Pictures. Choose from a large collection of inspirational, motivational and encouraging Bible verses with pictures of nature. Download and share Mwanzo 32 inspirational Bible verse images. Bible verse pictures were created based on verses from the Swahili Unlocked Literal Bible (SWHULB). The Holy Bible in the Swahili language, Unlocked Literal Bible version.

Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community

Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.

This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.

You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:

  • You include the above copyright and source information.
  • If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
  • If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.

Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.


Mwanzo 32:1 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo pia akaendelea na safari yake, na malaika wa Mungu wakakutana naye.

Mwanzo 32:2 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu,” hivyo akapaita mahali pale Mahanaimu.

Mwanzo 32:3 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akatuma wajumbe mbele yake waende kwa Esau ndugu yake katika nchi ya Seiri, katika eneo la Edomu.

Mwanzo 32:4 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Aliwaagiza, kusema, “Hivi ndivyo mtakavyosema kwa bwana wangu Esau: Hivi ndivyo mtumishi wako Yakobo asemavyo: 'Nimekuwa nikikaa na Labani, naye amekawilisha kurudi kwangu hata sasa.

Mwanzo 32:5 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Nina ng'ombe, punda, na kondoo, wajori na wajakazi. Nimetuma ujumbe huu kwa bwana wangu, ili kwamba nipate kibali mbele zako.”

Mwanzo 32:6 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Wajumbe wakarudi kwa Yakobo na kusema, “Tulikwenda kwa Esau ndugu yako. Anakuja kukulaki, na watu mia nne pamoja naye.”

Mwanzo 32:7 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo Yakobo alipoogopa sana na kutaabika. Hivyo akagawanya watu aliokuwa nao katika kambi mbili, na kondoo pia, mbuzi na ngamia.

Mwanzo 32:8 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, “Ikiwa Esau ataishambulia kambi moja, ndipo kambi nyingine itakaposalimika.”

Mwanzo 32:9 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akasema, “Mungu wa baba yangu Ibrahimu, na Mungu wa baba yangu Isaka, Yahwe, uliyeniambia, 'Rudi katika nchi yako na kwa jamaa yako, nami nitakustawisha,'

Mwanzo 32:10 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mimi sistahili matendo yako yote ya agano la uaminifu na ustahilifu wote uliomfanyia mtumishi wako. Kwa maana nilikuwa na fimbo tu nilipovuka mto huu wa Yordani, na sasa nimekuwa matuo mawili.

Mwanzo 32:11 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Tafadhari niokoe kutoka katika mikono ya ndugu yangu, mikono ya Esau, kwa maana namwogopa, kwamba atakuja na kunishambulia mimi na wamama na watoto.

Mwanzo 32:12 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Lakini ulisema, 'hakika nitakufanya ufanikiwe. Nitaufanya uzao wako kuwa kama mchanga wa bahari, ambao hauwezi kuhesabika kwa hesabu yake.”

Mwanzo 32:13 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akakaa pale usiku huo. Akachukua baadhi ya alivyokuwa navyo kama zawadi kwa Esau, ndugu yake:

Mwanzo 32:14 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
mbuzi majike mia mbili na mabeberu ishirini, kondoo majike mia mbili na madume ya kondoo ishirini,

Mwanzo 32:15 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
ngamia wakamwao thelathini na wana wao, ng'ombe madume arobaini na madume kumi ya ng'ombe, punda wa kike ishirini na madume yake ishirini.

Mwanzo 32:16 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akawaweka katika mikono ya watumishi wake, kila kundi peke yake. Akawambia watumishi, “Tangulieni mbele yangu na mwache nafasi kati ya makundi ya wanyama.”

Mwanzo 32:17 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akamwagiza mtumishi wa kwanza, akisema, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, akasema, 'Ninyi ni wa nani? Mnakwenda wapi? Na wanyama hawa mbele yenu ni wa nani?

Mwanzo 32:18 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndipo umwambie, 'Ni wa mtumishi wako Yakobo. Ni zawadi wanaopelekwa kwa bwana wangu Esau. Na tazama, yeye pia anakuja nyuma yetu.”

Mwanzo 32:19 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akatoa maelekezo kwa kundi la pili pia, la tatu, na watu wote walioyafuata makundi ya wanyama. Akasema, mseme vilevile kwa Esau mtakapokutana naye.

Mwanzo 32:20 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mnapaswa pia kusema, 'mtumwa wako Yakobo pia anakuja nyuma yetu.” Kwani alifikiri, “nitamtuliza Esau kwa zawadi nilizozituma mbele yangu. Kisha baadaye, nitakapomwona, bila shaka atanipokea.”

Mwanzo 32:21 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Hivyo zawadi zikatangulia mbele yake. Yeye mwenyewe akakaa kambini usiku huo

Mwanzo 32:22 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akaamka wakati wa usiku, na akawachukua wakeze, wajakazi wake na wanaye kumi na wawili. Akawawavusha kijito cha Yaboki.

Mwanzo 32:23 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kwa njia hii akawapeleka kupitia chemichemi pamoja na mali yake yote.

Mwanzo 32:24 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akaachwa peke yake, na mtu akashindana naya mpaka alfajiri.

Mwanzo 32:25 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Mtu yule alipoona kwamba hawezi kumshinda, akalipiga paja lake. Paja la Yakobo likatenguka alipokuwa akishindana naye.

Mwanzo 32:26 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yule mtu akasema, “Niache niende, kwani kunakucha.” Yakobo akasema, sitakuacha uende mpaka uwe umenibariki.”

Mwanzo 32:27 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yule mtu akamwuliza, “Jina lako ni nani?” Yakobo akasema, “Yakobo.” Yule mtu akasema,

Mwanzo 32:28 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
“Jina lako halitakuwa Yakobo tena, ila Israeli. Kwa kuwa umeshindana na Mungu na wanadamu na umeshinda.”

Mwanzo 32:29 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akamwambia, “Tafadhari niambie jina lako.” Akasema, “Kwa nini kuniuliza jina langu?” Kisha akambariki pale.

Mwanzo 32:30 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yakobo akapaita mahali pale Penieli kwani alisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, na maisha yangu yamesalimika.”

Mwanzo 32:31 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Jua likatoka wakati Yakobo anaipita Penieli. Alikuwa akichechemea kwa sababu ya paja lake.

Mwanzo 32:32 (SWHULB)
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ndiyo maana wana wa Israeli hawali kano ya paja iliyopo katika nyonga ya paja, kwa sababu yule mtu aliziumiza hizo kano alipotegua paja la Yakobo.
Previous Chapter
« Mwanzo 31 (SWHULB)
Next Chapter
Mwanzo 33 (SWHULB) »

Available Bible Translations

American Standard Version
Genesis 32 (ASV) »
King James Version
Genesis 32 (KJV) »
GOD’S WORD® (GW)
Genesis 32 (GW) »
World English Bible
Genesis 32 (WEB) »
Louis Segond 1910
Genèse 32 (LSG) »
Luther Bibel 1912
Genesis 32 (LUTH1912) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - हिंदी
उत्पत्ति 32 (HINIRV) »
ਭਾਰਤੀ ਸੋਧਿਆ ਹੋਇਆ ਸੰਸਕਰਣ - ਪੰਜਾਬੀ
ਪੈਦਾਇਸ਼ 32 (PANIRV) »
ভারতীয় সংশোধিত সংস্করণ - বাংলা
আদি 32 (BENIRV) »
இந்தியன் ரீவைஸ்டு வேர்ஷன் - தமிழ்
ஆதியாகமம் 32 (TAMIRV) »
इंडियन रिवाइज्ड वर्जन - मराठी
उत्पत्ति 32 (MARIRV) »
ఇండియన్ రేవిజ్డ్ వెర్షన్ - తెలుగు
ఆదికాండం 32 (TELIRV) »
ઇન્ડિયન રિવાયઝ્ડ વર્ઝન - ગુજરાતી
ઉત્પત્તિ 32 (GUJIRV) »
ಭಾರತೀಯ ಪರಿಷ್ಕೃತ ಆವೃತ್ತಿ - ಕನ್ನಡ
ಆದಿಕಾಂಡ 32 (KANIRV) »
الكتاب المقدس باللغة العربية، فان دايك
اَلتَّكْوِينُ 32 (AVD) »
תנ ך עברי מודרני
בראשית 32 (HEB) »
Bíblia Sagrada Português
Gênesis 32 (BSL) »
Kinh Thánh: Tiếng Việt
Sáng Thế 32 (VIE) »
Reina Valera Antigua
Génesis 32 (RVA) »
La Sacra Bibbia
Genesi 32 (RIV) »
圣 经 简体中文和合本
创 世 纪 32 (CUVS) »
聖 經 繁體中文和合本
創 世 記 32 (CUVT) »
Bibla e Shenjtë
Zanafilla 32 (ALB) »
Svenska Bibeln 1917
1 Mosebok 32 (SV1917) »
Библия на русском
Бытие 32 (RUSV) »
Українська Біблія
Буття 32 (UKR) »
Szent Biblia - Magyar
1 Mózes 32 (KAR) »
Българска Библия
Битие 32 (BULG) »
聖書 日本語
創世記 32 (JPN) »
Kitaabka Quduuska Ah
Bilowgii 32 (SOM) »
De Heilige Schrift
Genesis 32 (NLD) »

Mwanzo (SWHULB) Chapter Selection

SWHULB Book Selection List