Mwanzo 38 SWHULB
Mwanzo Chapter 38 SWHULB Bible Verse Images
Copyright © 2019 Door43 World Missions Community
Language: Kiswahili (Swahili)
Translation by: Door43 World Missions Community
Contributors: Alfred Danjuma, Bariki Malisa, Christina Abraham Kileo, Cloud Roman, Daniel Marura Chacha, Dina Mast, Dina Roman, Donald Shadarck Dutuyi, Emmanuel Masanja Mbaaga, Emmanuel Nyamalya, Erasmus Peter Malelo, Ev. Lazaro Chalomhola, Ezekiel Manala, Fred, Gabriel Gidale Merus, Gabriel Lwitakubi Mazige, James Makula, James Semnkai, Jeremiah Masasi, Jesse Katabi Masolwa, John Ojasi, Joyce Gilbert Masasi, Karen Riecks, Kazwanomo, Kennedy, Ker, Lameck Yakobo Tobotobo, Laurent Petro Malelo, Lazarus David Chalomhola, Makene Mafwele, Marco Luma Mahushi, Mathew Nkusa, Mathias William, Mr. James Semnkai .It., Musa Isaya Majama, Musa Luzali, Pastor John Kerim, Pastor Jordan, Philipo Mussa Kanwelle, Raphael Musa, Rev. Charles Mabisa, Rev. Yohana Batano, Robert Ndalahwa, Sadiki Kulwa, Samson Nungwana, Thobias Kazwanomo, Yohana Dutuyi, Yohana Magera, Zelote Loilang'akaki Lukumay, Rev. Erasmus Peter Malelo, Ev. Mathew Kazimoto, Rev. Dr. David Magoke, Rev. Elias Ndema, Rev. Alex Nyuri, Rev. Gungutu Elias, Rev. Lameck Tobotobo, Rev. Catherin D. Matia, Rev. Yohana S Dutuyi, Rev. Donald Dutuyi, GS. Andrew Gewe, Ev. Ezekiel Daudi, Rev. John Ndaluka, Ev. Moses Malugu, Rev. Moses Eliakim Ndege, Past. Isack A. Gomugo, Past. Mathias William, Rev. Yekonia M. Koko, Rev. Elisande Mhanga, Ev. James A. Makula.
This translation is made available to you under the terms of the Creative Commons Attribution Share-Alike license 4.0.
You have permission to share and redistribute this Bible translation in any format and to make reasonable revisions and adaptations of this translation, provided that:
- You include the above copyright and source information.
- If you make any changes to the text, you must indicate that you did so in a way that makes it clear that the original licensor is not necessarily endorsing your changes.
- If you redistribute this text, you must distribute your contributions under the same license as the original.
Credits: In addition, we would like to give very special thanks to eBible.org for making Swahili Unlocked Literal Bible available in MySQL format.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa wakati ule Yuda akawaacha ndugu zake na kukaa na Mwadulami fulani, jina lake Hira.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Pale akakutana na binti Mkanaani jina lake Shua. Akamwoa na kulala naye.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akawa mjamzito tena na kuzaa mwana tena. Akamwita jina lake Onani.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akazaa mwana mwingine akamwita jina lake Shela. Alikuwa huko Kezibu alipomzaa.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda akaona mke kwa ajili ya Eri, mzaliwa wake wa kwanza. Jina lake Tamari.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu mbele za Yahwe. Yahwe akamwua.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda akamwambia Onani, “Lala na mke wa nduguyo. Fanya wajibu wa shemeji kwake, na umwinulie nduguyo mwana.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Onani alijua kwamba mtoto asingekuwa wake. Pindi alipolala na mke wa kaka yake, alimwaga mbegu juu ya ardhi ili kwamba asimpatie nduguye mtoto.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alilolifanya lilikuwa ovu mbele za Yahwe. Yahwe akamwua pia.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Yuda akamwambia Tamari, mkwewe, “Ukakae mjane katika nyumb aya baba yako hadi Shela, mwanangu, atakapokuwa.” Kwani aliogopa, “Asije akafa pia, kama nduguze.” Tamari akaondoka na kuishi katika nyumba ya babaye.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Baada ya muda mrefu, binti Shua, mkewe Yuda, alikufa. Yuda akafarijika na kwenda kwa wakatao kondoo wake manyoya huko Timna, yeye na rafiki yake, Hira Mwadulami.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Tamari akaambiwa, “Tazama, mkweo anakwenda Timna kukata kondoo wake manyoya.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akavua mavazi yake ya ujane na akajifunika kwa ushungi. Akakaa katika lango la Enaimu, lililoko kando ya njia iendayo Timna. Kwa maana aliona kwamba Shela amekua lakini akupewe kuwa mke wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda alipomwona alidhani ni kahaba kwa maana alikuwa amefunika uso wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akamwendea kando ya njia na kusema, “Njoo, tafadhari uniruhusu kulala nawe” - kwani hakujua kwamba alikuwa ni mkwewe - naye akasema, “Utanipa nini ili ulale nami?
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, “Nitakuletea mwana mbuzu wa kundi.” Akasema, “Je utanipa rehani hata utakapo leta?”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akasema, “Nikupe rehani gani?” Naye akasema, “Mhuri wako na mshipi, na fimbo iliyo mkononi mwako.” Akampa na kulala naye. Akawa mjamzito.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akaamka na kuondoka. Akavua ushungi wake na kuvaa vazi la ujane wake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda akatuma mwana mbuzi kutoka kundini kwa mkono wa rafiki yake Mwadulami ili aichukue rehani kutoka katika mkono wa mwanamke, lakini hakumwona.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha Mwadulami akauliza watu wa sehemu hiyo,”Yupo wapi kahaba aliyekuwa Enaimu kando ya njia?” Wakasema, hapajawai tokea kahaba hapa.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Akarudi kwa Yuda na kusema, “Sikumwona. Pia watu wa eneo hilo wamesema, 'Hajawai kuwapo kahaba hapa.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda akasema, “Mwache akae na vitu, tusije tukaaibika. Hakika, nimemletea mwanambuzi, lakini hukumwona.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa baada ya miezi mitatu Yuda akaambiwa, “Tamari mkweo amefanya ukahaba, na kwa hakika, yeye ni mjamzito.” Yuda akasema, “Mleteni hapa ili achomwe.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Alipoletwa nje, alipeleka ujumbe kwa mkwewe, “Mimi ni mjamzito kwa mtu mwenye vitu hivi.” Akasema, “Tambua tafadhari, mhuri huu na mshipi na fimbo ni vya nani.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Yuda akavitambua na kusema, “Yeye ni mwenye haki kuliko mimi, kwani sikumpa Shela, mwanangu awe mme wake.” Hakulala naye tena.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Muda wake wa kujifungua ukafika, tazama, mapacha walikuwa tumboni mwake.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa alipokuwa akijifungua mmoja akatoa mkono nje, na mkunga akachukua kitambaa cha rangi ya zambarau na kukifunga katika mkono wake na kusema, “Huyu ametoka wa kwanza.”
Square Portrait Landscape 4K UHD
Ikawa aliporudisha mkono wake, tazama, ndugu yake akatoka kwanza. Mkunga akasema, “Umetokaje” Na akaitwa Peresi.
Square Portrait Landscape 4K UHD
Kisha ndugu yake akatoka, akiwa na utepe wa zambarau juu ya mkono wake, naye akaitwa Zera.
Available Bible Translations
Genesis 38 (ASV) »
Genesis 38 (KJV) »
Genesis 38 (GW) »
Genesis 38 (BSB) »
Genesis 38 (WEB) »
Genèse 38 (LSG) »
Genesis 38 (LUTH1912) »
उत्पत्ति 38 (HINIRV) »
ਪੈਦਾਇਸ਼ 38 (PANIRV) »
আদি 38 (BENIRV) »
ஆதியாகமம் 38 (TAMIRV) »
उत्पत्ति 38 (MARIRV) »
ఆదికాండం 38 (TELIRV) »
ઉત્પત્તિ 38 (GUJIRV) »
ಆದಿಕಾಂಡ 38 (KANIRV) »
اَلتَّكْوِينُ 38 (AVD) »
בראשית 38 (HEB) »
Gênesis 38 (BSL) »
Sáng Thế 38 (VIE) »
Génesis 38 (RVA) »
Genesi 38 (RIV) »
创 世 纪 38 (CUVS) »
創 世 記 38 (CUVT) »
Zanafilla 38 (ALB) »
1 Mosebok 38 (SV1917) »
Бытие 38 (RUSV) »
Буття 38 (UKR) »
1 Mózes 38 (KAR) »
Битие 38 (BULG) »
創世記 38 (JPN) »
1 Mosebok 38 (NORSK) »
Rodzaju 38 (POLUBG) »
Bilowgii 38 (SOM) »
Genesis 38 (NLD) »
1 Mosebog 38 (DA1871) »